Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida
(Hospitali ya Mkoa)

All Clinics

Akina mama wanapata huduma za uzazi pamoja na matibabu ya magonjwa ya wanawake. Aidha tunafurahi kusema kuwa huduma tunazotoa kwa akinamama na wanawake kwa ujumla ni huduma za kibingwa kwani Hospitali ya rufaa ya mkoa tumebahatika kuwa na Daktari Bingwa -...

Ili mgonjwa apate huduma atatakiwa kuhuduria kliniki ya huduma husika kwa ratiba ya

kliniki husika kama ratiba ianvyoonesha isipokua kwa wagonjwa wa dharura tu.

Dharura za upasuaji hufanyika pale zinapojitokeza  na hapa shughuli zingine huwa zinasit...

Kliniki Ya Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Mifupa hufanyika siku za jumanne na Ijumaa kama inavyoonekana kwenye ratiba. Kiliniki hii huendeshwa na Daktari Bingwa wa mifupa. Kliniki hii ni moja ya kliniki za kibingwa tulizonazo katika hospitali yetu. karibu ...

Hii inahusisha huduma za aina mbili;

  1. Kliniki maalumu za magonjwa ya sukari na magonjwa ya akili
  2. Huduma za magonjwa mchanganyiko (ya kawaida)
  • Kliniki ya magonjwa ya akili hufanyika kila siku ya wiki isipokua siku za wikiendi.
  • Huduma ya ma...

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida tunaendesha kliniki za tiba usingizini na ganzi kwa siku zote za Juma. Kliniki hii inaendeshwa na Daktari Bingwa wa Tiba Usingizini na Ganzi (Anaesthesiologist).

Tunaona wagonjwa wote wanaopangiwa kufanyiwa upasuaj...

Kliniki Ya Daktari Bingwa wa  Watoto hufanyika siku za jumanne na Ijumaa kama inavyoonekana kwenye ratiba. Kiliniki hii huendeshwa  na Daktari Bingwa wa  Watoto.  Kliniki hii ni moja ya kliniki za kibingwa tulizonazo katika hospitali yetu. karibu tukuhudu...

Watoto pamoja na watu wazima wenye matatizo ya masikio, pua na koo mf. Nyama za pua, masikio kuwasha kupita kiasi, tezi kuvimba kooni nk. wanapata huduma bora za kibingwa kutoka kwa daktari Bingwa wetu.

Klinick hii ni kwa wagonjwa wote wanaosumbuliwa na magonjwa ya ndani. mf, magonjwa ya figo, magonjwa ya moyo, magonjwa ya uvimbe, magonjwa ya ini nk. Tunawakaribisha wateja wote wanaosumbuliwa na magonjwa haya kuweza kufika na kupata huduma bora za kibing...

kliniki hii ni kwa wateja wanaosumbuliwa na matatizo ya kinywa mf. madonda mdomoni, matatizo ya meno kwa ujumla, tunawakaribisha wa huduma bora ya kinywa.

Kliniki hii ni kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na matatizo ya macho mf. ya kutokuona karibu/mbali,  matatizo ya macho kuwasha/kuwa mekundu/kuuma na huduma nyingine zinazohusiana na macho kwa ujumla, tunawakaribisha kwa huduma bora ya macho.