Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida
(Hospitali ya Mkoa)

Kliniki ya Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Mifupa

Posted on: December 6th, 2023

Kliniki Ya Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Mifupa hufanyika siku za jumanne na Ijumaa kama inavyoonekana kwenye ratiba. Kiliniki hii huendeshwa na Daktari Bingwa wa mifupa. Kliniki hii ni moja ya kliniki za kibingwa tulizonazo katika hospitali yetu. karibu tukuhudumie.