Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida
(Hospitali ya Mkoa)

Malengo


A. Kupunguza maambukizi ya virusi vya ukimwi na kuboresha utohaji wa huduma.

B Kujenga uwezo wa ndani wa taasisi ili kuweza kufikia malengo tuliyojiwekea..

C. Kuanzishwa kwa mafunzo na maendeleo ya kitaaluma kwa kada za afya.

D. kuboresha utoaji wa huduma kinga.