Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida
(Hospitali ya Mkoa)

Idara

Hospitali ya rufaa mkoa wa Singida ina jumla ya idara 13 kama zinavyoonekana hapa chini

  1. Idara ya wagonjwa wa nje.
  2. Idara ya upasuaji
  3. Idara ya magonjwa ya ndani
  4. Idara ya watoto
  5. Idara ya magonjwa ya kina mama
  6. Idara ya uasuaji mifupa
  7. Famasi
  8. Idara ya mionzi
  9. Maabara
  10. Utawala