Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida
(Hospitali ya Mkoa Mandewa)

WANANCHI 3242 WANUFAIKA NA HUDUMA ZA KIBINGWA ZA MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA KANDA YA KATI.

Posted on: May 8th, 2025

Ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dkt. Fatma Mganga ambaye ni Mgeni Rasmi wa kambi hiyo  amesema kambi hiyo ilikua na tija kubwa kwani imewagusa wananchi wa Tanzania na kufanya kuwa na Taifa lenye watu wenye Afya Katika ujenzi wa nchi,  huku akiwashukuru Madaktari bingwa wote.